Our Goals

Haya ni malengo ya kikundi chetu kama kilivo jadiliwa tarehe 28/4/2013,  kama malengo ya baadae ya kukiwezesha kikundi kupata hela ya kujiendesha chenyewe, na pia mrejesho kwa jamii.

  1. Kilimo: Kuwa na  shamba  kwa ajili ya uanzishaji wa kilimo na ufugaji.
  2. Biashara: Kuanzisha mradi wa kuuza mazao ya chakula
  3. Mrejesho:  kuisaidia shule yetu pale mfuko wa kikundi utakapo kuwa unajitosheleza

No comments:

Post a Comment